Proverbs 3:33-35


33 aLaana ya Bwana i juu ya nyumba ya mwovu,
lakini yeye huibariki nyumba ya mwenye haki.
34 bHuwadhihaki wale wanaodhihaki,
lakini huwapa neema wale wanyenyekevu.
35Wenye hekima hurithi heshima,
bali huwaaibisha wapumbavu.
Copyright information for SwhNEN